Skip to main content

NI NINI CHANZO CHA MIMBA ZA UTOTONI NA NANI ALAUMIWE?

NI NINI CHANZO CHA MIMBA ZA UTOTONI NA NANI ALAUMIWE?
NI, EMMY SUMUNI 

1.WAZAZI/WALEZI: ninapo sema wazazi au walezi nina maanisha malezi anayopata binti huyu toka kwa wazazi/mzazi/walezi,hii inaweza kuwa pamoja na manyanyaso anayopata binti hadi kupelekea kukata tamaa na kuingia ktk vishawishi vibaya.hii ni kwa upande wa walezi wanaweza kuwa shangazi wajomba mama wa kambo n.k. 
Pia kwa upande wa wazazi inaweza kuwa kumdekekeza mtoto kila anachotaka unampatia mtoto akifanya kosa hakemewi wala kuchapwa malezi haya yanaweza kumpelekea mtoto kujiona yeye ndio yeye maamuzi yoyote anaweza kufanya. 

2.MARAFIKI/JAMII : hapa kuna vishawishi toka kwa marafiki wabaya pia jamii inayomzunguka mtoto ,hutegemea sana na mazingira anayokaaa watu anao kuwa nao muda mwingi akiwa nyumbani.

3.HALINGUMU YA UCHUMI; Kipato duni kwa wazazi/walezi hupelekea binti kukata tamaa na kushawishika na chips kuku n.k

4.UMBALI MREFU TOKA HOME HADI SHULENI: kutokuwepo na usafiri wa uhakika kwa mabinti zetu hasa vijijini hulazimika kutembea umbali mrefu hii hupelekea kuchoka na kushawishika kiurahisi na vijana wa bodaboda mwisho wa cku ni mimba za utotoni.

5.TAMAA MBAYA; Hupelekea binti kujiingiza ktk makundi mabaya ilimradi apate anachokita,kuiga tamaduni za kigeni bila kuzingatia mila na desturi yetu
POWERED BY YOPOCODE

Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

WITO NI NINI?

MJUE ALIYEKUITANA KUMTUMIKIA WITO NI NINI? Kila mtu Mungu amemwita kwa nafasi yake amtumikie.Hata kama kwa nje wito utaonekana kufanana haina maana wito wa mtu mmoja na mwingine unafanana. Wito unatokana na kuitwa. Kila mtu Mungu amemwita amtumikie katika eneo Fulani.  Wito : Ni sauti au agizo analosikia mtu likimwelekeza nini cha kufanya.Katika wito wowote ukiwa umeitwa na Mungu atakuelekeza nini cha kufanya.Na unapoitwa na Mungu jitahidi kutenda sawa na wito wako ulivyo. NITAJUAJE NIMEITWA? 1.Utaisikia sauti ya Mungu ikisema na wewe: Kama kuitwa kwa kawaida kulivyo ndivyo mtu uisikia sauti ya Mungu  ikisema nae. Ebu angali mifano ya watu mbalimbali waliowahi kuisikia sauti ya Mungu ikiwaita kwa ajili ya kutekeleza agizo fulani. MUSA kabla ya kuanza kumtumikia Mungu alikuwa mchungaji wa mifugo ya mkwe Yethro kuhani wa Midiani.Katikati ya uchungaji Mungu alimwita Musa.Kumbe ili na wewe umtumikie Mungu unatakiwa uisikie sauti yake ikisema na wewe,Ni hatari sana kama uta

KIJANA NI NANI???

KIJANA NI NANI? NA MWANDISHI,  JANEROSA MAFWIMBO Neno kijana limekuwa na maana pana na linakuwa likipata tafsiri mbalimbali kutoka katika kila Taifa, jamii au tamaduni fulani. Kwakuzingatia mifumo au maisha ya jamii tunapata baadhi ya tafsiri za neno kijana kama ifuatavyo: Kijana ni mtu wa miaka 15-24. Hii ni tafsiri ya umoja wa Mataifa. Mathalani nchini Tanzania kijana ni mtu wa miaka 18-35 yaani baada ya balehe na mabadiliko ya maumbile toka utoto kuelekea ukubwa, aidha kw mujibu wa sera ya Taifa ya maendeleo ya vijana ya mwaka 1996 na kufanyiwa marekebisho mwaka 2007, inasema kijana ni mtu mwenye umri kuanzia miaka 15-24. Hivyo basi kijana ni mtu yeyote wa kike au kiume mwenye umri wa miaka 18-35 ambaye kwa mujibu wa mifumo ya kijamii au kitamaduni, kisiasa na kisheria anauwezo wa kujitegemea na kufanya maamuzi yake binafsi. Tofauti kati ya mtoto na kijana, wengi wanashindwa kutofautisha kati ya mtoto na kijana hasa waliopo katika elimu ya msingi na sekondari kutokana

MAMBO 12 YA KUFANYA UKIWA KIJANA

Vijana Tanzania Na Alfred Mwahalende Kwa mujibu wa mwandishi wa blog ya Dira Ya Kijana Tanzania  Janerosa Mafwimbo anasema “ Neno kijana limekuwa na maana pana na linakuwa likipata tafsiri mbalimbali kutoka katika kila Taifa, jamii au tamaduni fulani. Kwakuzingatia mifumo au maisha ya jamii tunapata baadhi ya tafsiri za neno kijana kama ifuatavyo: 1.     Kijana ni mtu wa miaka 15-24. Hii ni tafsiri ya umoja wa Mataifa. 2.     Mathalani nchini Tanzania kijana ni mtu wa miaka 18-35 yaani baada ya balehe na mabadiliko ya maumbile toka utoto kuelekea ukubwa, aidha kw mujibu wa sera ya Taifa ya maendeleo ya vijana ya mwaka 1996 na kufanyiwa marekebisho mwaka 2007, inasema kijana ni mtu mwenye umri kuanzia miaka 15-24.Hivyo basi kijana ni mtu yeyote wa kike au kiume mwenye umri wa miaka 18-35 ambaye kwa mujibu wa mifumo ya kijamii au kitamaduni, kisiasa na kisheria anauwezo wa kujitegemea na kufanya maamuzi yake binafsi. ” JE, UJANA NI NINI? 3.     Ujana ni hatua ambayo mtu anapi