Skip to main content

Posts

Showing posts from October, 2017

KAMPENI YETU YA BINTI JITAMBUE TANZANIA

UNGANA NA SHIRIKA LA VIJANA TANZANIA LA YOPOCODE, KATIKA KAMPENI YETU YA BINTI JITAMBUE TANZANIA, YENYE LENGO LA KUWASAIDIA WATOTO WA KIKE KUFIKIA MALENGO YAO KIELIMU NA KIUCHUMI ✅  Kwa mujibu wa shirika la watoto duniani la UNICEF k umekuwa na ongezeko la mimba mashuleni kutoka asilimia 23 hadi 26 yaani takribani watoto wa kike 8000 hapa Tanzania kila mwaka hukatisha masomo kwa ajili ya ujauzito na ndoa za utotoni amabazo kwa kiasi kikubwa huathiri ndoto za watoto wa kike kuf ikia malengo yao kielimu na kiuchumi. ✅  Vilevile idadi ya watoto wa kike ambao wamekuwa wakimaliza elimu ya msingi lakini kutopewa nafasi ya kujiendeleza kielimu hata pale wanapokuwa wamechanguliwa kujiunga sekondari nayo pia imekuwa ikiongezeka na badala yake mabinti hawa wamekuwa wakilazimika kuingia katika ndoa KWA umri mdogo na hatimaye kushindwa kufikia malengo yao kielimu na kiuchumi. ✅  kushuhudia kuongezeka kwa vitendo vya ukatili wa kingono kama ubakaji na ulawiti kwa watoto wa kike na cha kus

ONDOKANA NA UTUMWA HUU

Nikusihii kitu kimoja mpenzi msomaji wa makala hizi za YAPOCODE TANZANIA kwamba maisha ambayo unaishi muda mwingine jua ni kwasababu ya utumwa ambao umeujenga katika fikra zako.Huu utumwa ambao umeujenga katika akili zako ni utumwa ambao umekufunga kufikiri vizuri juu ya maisha yako,ni utumwa ambao umekufanya kujiona huna thamani mpaka mtu flani akufanyie kitu flani ndipo ujione kwamba unathamani katika maisha yako.Mpaka lini utaogopa kufanya unachotaka kukifanya kwasababu mtu flani kafanya kitu kama kacho ambacho unaogopa kukifanya,lini utaacha uwoga wa kuwa mtu mnyenyekevu hata kwenye sehemu ambazo zinahitajjuhudi zako kuwa zaidi ya unyenyekevu sehemu ambazo sio? lini utasema sasa najijenga mwenyewe na niweze kuwa zaidi ya leo nilipo?. Nakusihii usiache utumwa wako wa kifikra kuacha lulu iliyoko ndani yako kupotea,usiache utajiri ambao uko ndani yako kupotea.leo hii anza na jitahidi kufanya kile ambacho unaogopa kukifanya lakini unajua kabisa kwamba ni kitu chema katika maisha

Happy International Day of the Girl!

H appy   International Day of the Girl ! Now in its fifth year, the   United Nations   has designated October 11 as a day “to highlight and address the needs and challenges girls face, while promoting girls' empowerment and the fulfilment of their human rights.” To mark this year’s iteration we bring you, in no particular order, a collection of inspiring messages from high achieving women, to encourage the empowerment of girls everywhere. 1.  “You must make women count as much as men; you must have an equal standard of morals; and the only way to enforce that is through giving women political power so that you can get that equal moral standard registered in the laws of the country. It is the only way.”   Emmeline Pankhurst , leader of the British suffragette movement 2. “ Change your life today. Don’t gamble on the future, act now, without delay.”   Simone de Beauvoir , French existentialist writer and philosopher “You must make women count as much as men; you must have an e

NI NINI CHANZO CHA MIMBA ZA UTOTONI NA NANI ALAUMIWE?

NI NINI CHANZO CHA MIMBA ZA UTOTONI NA NANI ALAUMIWE? NI, EMMY SUMUNI  1.WAZAZI/WALEZI: ninapo sema wazazi au walezi nina maanisha malezi anayopata binti huyu toka kwa wazazi/mzazi/walezi,hii inaweza kuwa pamoja na manyanyaso anayopata binti hadi kupelekea kukata tamaa na kuingia ktk vishawishi vibaya.hii ni kwa upande wa walezi wanaweza kuwa shangazi wajomba mama wa kambo n. k.  Pia kwa upande wa wazazi inaweza kuwa kumdekekeza mtoto kila anachotaka unampatia mtoto akifanya kosa hakemewi wala kuchapwa malezi haya yanaweza kumpelekea mtoto kujiona yeye ndio yeye maamuzi yoyote anaweza kufanya.  2.MARAFIKI/JAMII : hapa kuna vishawishi toka kwa marafiki wabaya pia jamii inayomzunguka mtoto ,hutegemea sana na mazingira anayokaaa watu anao kuwa nao muda mwingi akiwa nyumbani. 3.HALINGUMU YA UCHUMI; Kipato duni kwa wazazi/walezi hupelekea binti kukata tamaa na kushawishika na chips kuku n.k 4.UMBALI MREFU TOKA HOME HADI SHULENI: kutokuwepo na usafiri wa uhakika kwa mabin

KAMPENI YA BINTI JITAMBUE TANZANIA

MHUTASARI KUHUSU MRADI K atika uzinduzi wa kampeni hii ya Binti Jitambue ni moja ya utekelezaji wa malengo 17 ya malengo ya milenia ambayo yaliafikiwa na wanachama 189 wa umoja wa Mataifa mwaka 2015, ambapo lengo  namba 3  linazungumzia haki sawa kwa wote na kumwezesha mwanamke (Promote Gender Equality and Empower Women). Ukiachilia mbali malengo ya milenia hata shiriki letu la YOPOCODE malengo yake yako bayana juu ya kumsaidia kijana kujitambua Na hii inaenda sambamba kabisa na kampeni yetu ya “ BINTI JITAMBUE”. Hivyo tunaamini kampeni hii itakuwa ni chachu ya maendeleo kwa vijana wa kike. Na kwa mwaka 2017/2018 tutaanza na kata 18 za Halmashauri ya Mbeya vijijini na baadaye kampeni yetu kusambaa mkoa mzima na taifa kwa ujumla wake. VIASHIRIA Kuna viashiria mbalimbali ambavyo vimepelekea kuanzisha kampeni hii ya binti jitambua 1. K uwepo kwa wasichana ambao wanaacha shule kwa sababu ya kujiingiza kwenye mahusiano ya kimapenzi ,hii inatokana na wasichana wengi kukosa elimu