Skip to main content

Posts

Showing posts from 2019

MAKALA HII MAALUMU KUHUSU UGONJWA HUU WA LUPUS.

MAKALA HII MAALUMU KUHUSU UGONJWA HUU WA LUPUS. MWANDAAJI NA MWANDISHI NI LOOKMAN ADAM LUPUS NI NINI? Huu ni ugonjwa ambao hutokea pale ambapo seli hai zinapogeuka na kuanza kuushambulia mwili..Kazi kubwa ya seli ni kulinda mwili hasa kupambana na magonjwa..ila kwa Lupus seli hizi huanza kuushambulia mwili zenyewe... Zipo dalili nyingi za LUPUS ila hizi ni zile ambazo hujitokeza karibu kwa wagonjwa wengi WA LUPUS 🔹 Uchovu 🔹Maumivu ya Misuli wakati mwingine viungo kushindwa kufanya Kazi 🔹Kifuwa kuwaka moto hasa wakati wa kupumua 🔹Midomo kukauka 🔹Ngozi kutoka vipele vyekundu 🔹Kunyonyoka nywele 🔹Mkojo kutoka ukiwa na damu 🔹Kutoka vipele usoni kama vijipu vidogo 🔹Kupungua uzito 🔹Kukosa hamu ya kula 🔹Kuwa na hasira(Mara chache hutokea) Wakati mwingine LUPUS hufahamika kama SLE (SYSTEMIC LUPUS ERYTHIMATOSUS) Kama nilivyo eleza awalu kuwa LUPUS hutokea pale tu ambapo seli hai zinapogeuka na kuanza kushambulia mwili zenyewe hii hufahamika kama AUTOIMMUNE DISEAS