Skip to main content

Posts

Showing posts from May, 2018

KAMPENI YA BINTI AMKA TANZANIA YAANZA RASIMI JIJINI DAR ES SALAAM.

KAMPENI YA BINTI AMKA TANZANIA YAANZA RASIMI JIJINI DAR ES SALAAM. ☑ Yopocode kwa kushirikina na Mabalozi wa kampeni ya Binti Amka Tanzania wameanza rasimi kampeni katika shule ya Msingi Mnazi Mmoja iliyopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilala Jijini Dar es salaam. ☑ Akizungumza kwa niaba ya shirika la vijana Tanzania la YOPOCODE, Mkurugenzi Mtendaji Ndugu Alfred Sostern Mwahalende amekuwa na haya ya kusema"kampeni ya Binti Amka Tanzania inalenga kumsaidia mtoto wa kike nchini  kufika ndoto yake na malengo yake kielimu, kiuchumi na kiuongozi na katika hili pia tutalenga kupambana na masuala ya mimba na ndoa za utotoni ambayo kwa kiasi kikubwa yamekuwa yakichangia katika kumkwamisha mtoto wa kike kufikia malengo  yake.Tumeanza na shule za misingi katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilala Jijini Dar Es Salaam huku tukifanya juhudi katika halmashauri zingine na mikoa mingine ambayo tayari tumeanza maandalizi ya kuzindua kampeni yetu" Katika kuhakikisha tunafikia lengo la