Skip to main content

Posts

Showing posts from April, 2017

KIJANA NI NANI???

KIJANA NI NANI? NA MWANDISHI,  JANEROSA MAFWIMBO Neno kijana limekuwa na maana pana na linakuwa likipata tafsiri mbalimbali kutoka katika kila Taifa, jamii au tamaduni fulani. Kwakuzingatia mifumo au maisha ya jamii tunapata baadhi ya tafsiri za neno kijana kama ifuatavyo: Kijana ni mtu wa miaka 15-24. Hii ni tafsiri ya umoja wa Mataifa. Mathalani nchini Tanzania kijana ni mtu wa miaka 18-35 yaani baada ya balehe na mabadiliko ya maumbile toka utoto kuelekea ukubwa, aidha kw mujibu wa sera ya Taifa ya maendeleo ya vijana ya mwaka 1996 na kufanyiwa marekebisho mwaka 2007, inasema kijana ni mtu mwenye umri kuanzia miaka 15-24. Hivyo basi kijana ni mtu yeyote wa kike au kiume mwenye umri wa miaka 18-35 ambaye kwa mujibu wa mifumo ya kijamii au kitamaduni, kisiasa na kisheria anauwezo wa kujitegemea na kufanya maamuzi yake binafsi. Tofauti kati ya mtoto na kijana, wengi wanashindwa kutofautisha kati ya mtoto na kijana hasa waliopo katika elimu ya msingi na sekondari kutokana

KITABU CHA DIRA YA KIJANA TANZANIA

MRADI WA KUANDIKA KITABU CHA ” DIRA YA KIJANA TANZANIA ” Ø      Huu ni mradi wa kwanza Tanzania unaowakutanisha waandishi vijana wanatoka katika kada mbalimbali na wenye fani tofauti tofauti, kuandika kitabu kitakachokuwa mkombozi Kwa taifa letu na vijana wetu, kitabu hikii pekee kitachambua mambo mbalimbali yanayolenga kuwainua vijana kiuchumi na kuwasaidia vijana kujiingiza katika ujasiriamali NA Kujiajiri binafsi, aidha kitabu hiki kitaeleza kwa kina changamoto zinzowakabili vijana kama vile ukosefu wa ajira, umaskini, ndoa na mahusiano na kuonyesha suluhu kwa changamoto hiizo. Hali kadhalika kitabu hiki kitabainisha mifano mbalimbali ya vijana waliofanikiwa kimaisha angali wakiwa vijana. Ø       Tumeamua kuwagusa vijana kwa kuwa tunatambua vema kuwa vijana wanapita katika chanagamoto nyingi sana katika kipindi hiki cha mabadiliko makubwa kiuchumi na kiteknolojia,hivyo sisi kama shiriki la YOUTH POTENTIALS FOR COMMUNITY DEVELOPMENT ( YOPOCODE) tumeona hii ni fursa kuwaandiki

NGOMA ZETU NANENANE FESTIVAL 2017

       NANENANE FESTIVAL 2017 TAMASHA LA NANENANE 2017 LINAKARIBIA, WAPENZI WA TAMASHA LA NANENANE LINALOFANYIKA KILA MWAKA MKOANI MBEYA, SASA TUMEBAKI NA MIEZI MITATU TU YA KUJIANDAA NA TAMASHA MWAKA HUU LITAANZA KUANZIA TAREHE 01/08/2017 HADI 10/08/2017                  KARIBUNI SANA

NANENANE FESTIVAL 2017

RE: NANENANE FESTIVAL 2017 . SUB : INVIT ATION TO SPONSOR OUR FUNCTION I am writing to you concerning the NANENANE FESTIVAL 2017 organized to be conducted in MBEYA REGION, TANZANIA on AUGUST 2017. You would be aware that the NANENANE festival was done in 2016 and proved to be an outstanding community event with large numbers of people enjoying a 3 Days of  entertainment. You can read more about the event in the attached sponsorship proposal. This year, the organizing committee would like to offer the Plentiful opportunity to you to be the major sponsor of the event, being the major sponsor of our function your company will benefit the following, your company logo will be included on all event signage at venues and in all event marketing print material and possible newspaper advertising , also your brand or new product will be advertised in the function, you shall be provided with showing table for your business. We are seeking financial sponsorship of TZS 26,456,750/= which