Skip to main content

Posts

Showing posts from January, 2017

VIKUNDI VYA VIJANA VYA UJASIRIAMALI

NAMNA YA KUENDESHA VIKUNDI VYA UJASIRIAMALI NA BIASHARA Name; FILBERT NYONI Phone no; 0656447888        email; nyonifilbert30@gmail.com Vijana wenzangu popote mlipo Tanzania na duniani kote ,poleni kwa mahangaiko ya kuendelea kutafuta ugali kwani hata katika maandiko ya vitabu vya dini imeandikwa asiyefanya kazi na asile,na mwanaume atatafuta kwa jasho na mwanamke atazaa kwa uchungu,hii yote ni kudhilisha kuwa ni lazima kila mtu afanye kazi kulingana na kipawa alichojaaaliwa na mwenyezi mungu muumba wa mbingu na v yote vilivyopo katika uso wa duniani . Najua kila kijana ananamna anavyotafuta RIDHIKI ili mradi tu inakua halali, wapo wanaofanya kazi mmoja mmoja,wapo walioaji r iwa serikalina, taasisi za serikali, taasisi na mashirika binafsi, lakini wapo ambao wameamua kujiaji r i wenyewe katika shughuli mbali mba li za kijasiariamali, wapo wakulima, wafanyabiashara, mmoja na hata walioamua kuunda vikundi ili kuona namna gani nguvu ya pamoja inaweza kuwafikish

NANENANE FESTIVAL 2017.

INTRODUCTION ²   Tanzania Youth Talents in association with Nyota Tanzania Organization is raising NANENANE FESTIVAL 2017 on Mbeya district in Mbeya Region. The NANENANE FESTIVAL 2017 is intentionally and prearranged to search talents to the young men, promoting education for community development, promoting culture and tourism on Mbeya District. ²   Mbeya Region is located on the south-west of Tanzania mainland, commonly known as Southern highland that has a good and potential opportunity in economic and social spheres that are yet to be exhausted for prosperity of both the investors and regional peoples and It is boarders with four Regions namely Rukwa ,Tabora , Iringa and Ruvuma. ²   Seeing that opportunities organizers has decided to bring Mbeya Region to the face of development partners, investors, stakeholders from within and outside the Mbeya Region  through this planned NANENANE FESTIVAL 2017 . ²   Rural youth (MBEYA) grow up in a culture that does not typic

FALSAFA YA VIJANA NI TAIFA LA KESHO

TUMEWANYIMA NAFASI  YA UONGOZI VIJANA KUTOKANA NA FALSAFA POTOFU JUU YA V IJANA ISEMAYO’KIJANA NI TAIFA LA KESHO’ HUKU TUKISAHAU MCHANGO WAO Mwandishi,Alfred mwahalende  . Kutokutambua umuhimu wa kijana katika Taifa au jamii ni kushindwa kutambua mchango wa makundi yaliyopo katika jamii. Taifa lolote Duniani haliwezi kukua na kuwa imara kiuchumi, kisiasa, kitamaduni na kijamii bila makundi yote ya jamii kushirikishwa kikamilifu katika mapambano dhidi ya  changamoto zinazolikibili taifa hilo kama njaa, vita, umaskini, maradhi, elimu duni na ugumu wa maisha.                                                                                     Ni ukweli usiopingika na uliodhahiri kwamba maendeleo ya jamii zetu kwa asilimia kubwa  yanachangiwa na nguvu na maarifa ya vijana. Hivyo jamii isiyotambua umuhimu wa kijana imekufa na haiwezi kujikwamua kufikia mipango thabiti.vijana wanapaswa kushirikishwa katika harakati za kujikomboa kikamilifu na kutumia fursa zilizopo kutatua matati

VIJANA NI TUNU YA TAIFA

VIJANA NI TUNU YA TAIFA LOLOTE DUNIA TAIFA lolote Duniani haliwezi kukua na kuwa imara kiuchumi na kijamii bila makundi yote ya jamii kushirikishwa kikamilifu katika mapambano dhidi ya umasikini,maradhi na ujinga. Ni wazi kuwa katika ulimwengu huu wa sasa,asilimia kubwa ni vijana ambao kimsingi ndio wanaopaswa kuwa viongozi wa leo na kesho na nguvu yao inahitajika sana katika jamii zetu kutokana na maarifa na mchango wao katika kusukuma gurudumu la maendeleo ulivyo mkubwa. Hivyo basi, vijana ni kundi kubwa na rasilimali muhimu katika kuleta maendeleo ya taifa lolote lile duniani kutokana na nguvu na fikra za kimapinduzi walizo nazo. Ukweli wa jambo hilo huwa ni rahisi kudhihirika waziwazi endapo vijana wataandaliwa vyema katika jamii zao kushiriki na kushirikishwa katika kubuni, kupanga na kutekeleza mikakati mbalimbali ya mandeleo. Viongozi wengi wamekuwa wakisema mara kwa mara hasa wanapowapa nasaha utasikia wakisikika wakisema “Vijana ni Taifa la kesho fanyeni kaz

PICHA NANENANE 2016

NANENANE FESTIVAL 2016,NA SASA TUKO KWENYE MAANDALIZI YA NANENANE FESTIVAL 2017