Vijana Tanzania
Na Alfred Mwahalende
Na Alfred Mwahalende
Kwa mujibu wa mwandishi wa blog ya Dira Ya Kijana Tanzania
Janerosa Mafwimbo anasema “Neno kijana limekuwa na maana pana na linakuwa
likipata tafsiri mbalimbali kutoka katika kila Taifa, jamii au tamaduni fulani.
Kwakuzingatia mifumo au maisha ya jamii tunapata baadhi ya tafsiri za neno
kijana kama ifuatavyo:
1.
Kijana ni mtu wa miaka 15-24. Hii ni tafsiri ya
umoja wa Mataifa.
2.
Mathalani nchini Tanzania kijana ni mtu wa miaka
18-35 yaani baada ya balehe na mabadiliko ya maumbile toka utoto kuelekea
ukubwa, aidha kw mujibu wa sera ya Taifa ya maendeleo ya vijana ya mwaka 1996
na kufanyiwa marekebisho mwaka 2007, inasema kijana ni mtu mwenye umri kuanzia
miaka 15-24.Hivyo basi kijana ni mtu yeyote wa kike au kiume mwenye umri wa
miaka 18-35 ambaye kwa mujibu wa mifumo ya kijamii au kitamaduni, kisiasa na
kisheria anauwezo wa kujitegemea na kufanya maamuzi yake binafsi.”
JE,
UJANA NI NINI?
3. Ujana ni hatua ambayo mtu anapitia baada ya
utoto.
4.
Ujana
ni hali ya kuwa na tabia za umri wa ujana ambao ni miaka 18-35.
5.
Ujana
ni kipindi cha makuzi ya mtu kabla ya utu uzima na hatimaye uzee.
6. Ujana ni kipindi kati ya miaka 18-35 hivi
ambapo mtu anakuwa amepevuka na ukomavu wa kiakili na kimwili.
NIKUKUMBESHE MAMBO KUMI NA MBILI (12) MUHIMU UNAYOTAKIWA
KUYAFANYA KATIKA KIPINDI HIKI CHA UJANA WAKO;
✳ katika kipindi hiki cha ujana hakikisha unajijenga kielimu,
imarisha misingi kwenye taaluma mbalimbali yaani elimu ya msingi ya darasani na
elimu ya stadi za maisha ya mtaani. Jijengee Maarifa makubwa yatakayokusaidia kuhamisha
milima yaani changamoto. Pia katika elimu usisahau elimu ya dini, elimu ya
afya, biashara, ujasiriamali na mahusiano.
✳ katika kipindi hiki cha ujana hakikisha unapata ardhi au kiwanja
chako na uanze kuweka malengo ya kujenga.
✳ wekeza kwenye chochote unachohisi au unachoona kinaweza
kukuingizia kipato chako, usiogope kuwekeza kwenye fursa ndogo ndogo zinazoweza
kukuingizia kipato.
✳ katika kipindi hiki cha ujana hakikisha unaingia kwenye
mahusiano ya kweli na ndoa. Unapofikia ujana hakikisha unajijengea mahusiano
mazuri, unitumie silaha ya ujana kujiingiza katika mahusiano na kila inayemuona
mbele yako.
✳ katika kipindi hiki cha ujana hakikisha unakwepa kujiingiza
kwenye starehe zisizokuwa za lazima, achana na tabia za ulevi, matumizi mabaya
ya muda na pesa, kumbuka wakati wa ujana ni wakati wa kukusanya utakachokula
uzeeni.
✳ katika kipindi hiki cha ujana hakikisha unafungua akaunti ya
pesa ili uweze kuanza kuweka akiba kwa matumizi ya baadaye.
✳ katika kipindi hiki cha ujana hakikisha unajenga uaminifu kwa
kila mtu yaani uaminifu katika ahadi na matendo yako.
✳ katika kipindi hiki cha ujana hakikisha unakuwa na marafiki
wenye tija, pia marafiki wanakujenga kiakili na kukusaidia kutimiza kusudi
lako, achana na marafiki wanafiki, wafitini na wenye wivu wa kijinga. Pia
angalia marafiki wanaokutia moyo na kukukosoa pale unapokosea.
✳ katika kipindi hiki cha ujana hakikisha unaanza kufanya mambo
yako kwa malengo. Usifanya mambo bora yaenda, Fanya mipango kwa utuluvi mkubwa
usikurupuke, weka mikakati makini inayoweza kukutoa katika maisha yako.

Edgr
ReplyDeleteNice nitafanyia kaz
ReplyDeleteNice thakyour for adivice
ReplyDeleteKiukweli nmejifunza Asante kwa elim
ReplyDeleteπ¨π§ππππ₯π πͺπ π‘ππππ¨ π‘π π ππππ‘π π‘πππ‘π π¬π π ππ¦πππ°π΄ π¨πππππππ¦ππ π πππ¦ππ π‘π π ππ¨π π’ πͺπ π¨π§πππ¨π§πππ πͺπππ’.
ReplyDeleteKATIKA SAFARI YA MAFANIKIO TUNAPITIA MENGI ILI TUWEZE KUFANIKIWA LAKINI WENGI WETU KUNA MAMBO MACHACHE SANA WENGI WETU TUNAYADHARAU NA KUMBE NDIO CHANZO CHA MAFNIKIO YETU.
N.B KWA WALE WAHITAJI WA PESA ZA NDAGU au MAJINI kwa mudamfupi nipigie DOKTA MDIRO +255 742162843
HAYA NI MAMBO 7 YAKUZINGATIA KATIKA SAFARI YAKO YA MAFNIKIO
i) Wazazi wako wakiwa wamekulea mpaka ukawa mkubwa wafumbua macho unawaona akikisha usiwafanye wakajuta kukuzaa asilimia kubwa wazazi wanakuwa na tabu sana ila zile tabu zao ndio zinazokufanya wewe una aminiwa na watu na unaeshimika na kujieshimu
Kwaiyo jitahidi sana kuwa nao vizuri kuna wengi maisha yao wanaishi kwa shida chanzo ni utofauti baina ya wazazi wao
Ukiona wazazi wako wanatabu sana usiwajibu vibaya wewe kaa nao mbali ila wape majukumu yao unacho fanya kuwaona nakurudi ulipo apo utaona mambo yako yatakuwa vizuri sana
ii) JAMBO LA PILI
Akikisha unatunza uzao wako yani ukijua ni mtoto ni wako basi jitahidi sana kutoa uduma ata kidogo ulicho nacho lakini udumia usiache uzao wako unateseka na njaa wewe una kula maisha aisee fahau
Kila mtoto wako anavyo kuwa ndio mambo yako yanaaribika usipo udumia kwaiyo ukiwa waitaji kufanikiwa zaidi jali uzao wako
iii) JAMBO LA TATU
ukiwa umeoa au umeolewa usitoe talaka au kuomba talaka kabla mwenzio ayupo tayari kwa muda huo fahamu ukiomba talaka au akikupa talaka bila bila sababu ya msingi yeye tu ana matamanio ya kidunia basi anamuda atapoteza muelekeo wa maisha yake
iv) UKIWA WAPATA PESA
ukiwa wapata pesa alafu utoi sadaka basi kufikia kwenye ukuu utachelewa sana mana mana pesa badala ya kutoa kwa iyari yako utatoa kwa matatizo kwaiyo jitahidi icho icho kidogo toa sadaka kwa wenye uitaji
v) USIMZULUMU MTU
kama wataka kufika mbali kwenye mafanikio yako usimzulumu mtu ata kwa uchache wa kitu usifanye ivyo itakugarimu kiasi kikubwa
vi) USIZARAH MILA
ukiwa kwenu kuna mambo ya mila mzimu tambiko jitahidi kufatilia sana aya mambo yanarudisha nyuma sana usipo yawahi mapema
vii)USIWE WA NAMNA
1)ikiwa ujafanikiwa jitahidi sana usiwe mvivu kufanya kazi usiwe muhuni usiwe mwenye chuki na asira zisizo za msingi usiwe na tamaa nyoa vizuri vaa nguo za eshima na usiige maisha ya watu.
Kwanza kabisa nataka kukwambia kwamba hakika utajiri ni hazina kutoka kwa mwenyezi mungu na pia kuna viumbe alio wapa mamlaka na nguvu ya kumiliki mali)
MPAKA MASAA 72(SIKU3) PAPO HAPO KWA MASHARTI MAALUM KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA
kwa maelezo kamili piga namba +255742162843
(KWANINI USUMBUKE,HACHA KUTANGATANGA, NA MAISHA NI MAFUPI PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI (Tumia ufahamu kujinasuaUTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO
(HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.
NIPIGIE 0742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.
(kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
1. uwe una umri wa miaka 18+
2. uwe tayari kupokea masharti yote
3.uwe na uwezo wa kutunza siri
4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
KWA MAWSILIANO ZAIDI KUHUSU MATATIZO MBALIMBALI YA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA, PETE MALI ZA NDAGU NA MAJINI N.K
DOKTA MDIRO Call/whatsup +255 742162843.