Skip to main content

DAFTARI LA MABALOZI WA KAMPENI YA BINTI AMKA TANZANIA 2018/2019


DAFTARI LA MABALOZI WA KAMPENI YA BINTI AMKA TANZANIA 2018/2019


PREPARED BY:
YOUTH POTENTIALS FOR COMMUNITY DEVELOPMENT (YOPOCODE TANZANIA)
P.O BOX 78409 DSM
Lufungira/Sam Nujoma Road Kinondoni.             
Dar Es Salaam And Coastal Region
E-mail:yopocode@gmail.com
Blog: https://yopocodetanzania.blogspot.com
You tube:@yopocodechannel
Facebook page:@Binti Amka Tanzania




Empower youth for Sustainable Development


UTANGULIZI KUHUSU MRADI
Kwa mujibu wa Takwimu za Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2012, idadi ya watoto wa kike kati ya umri wa miaka 0-17 hapa Tanzania ni 11,263,891 idadi ambayo ni sawa na asilimia 48.8 ya watoto wote chini ya miaka 17, ambapo Tanzania bara  kuna watoto wa kike  elfu 10,943,846 na Tanzania visiwani idadi  yake ni laki tatu (320,045).Hivyo basi nusu ya idadi hii ni wanawake na watoto  ikilinganishwa na idadi ya watanzania wote ambao ni milioni 44,928,923 ambapo  kati yao wanawake ni milioni 23,058,933.
 Inasikitisha kuona kuwa mtoto wa kike hapa nchini bado wamekuwa wakikabiliwa na changamoto nyingi na cha kusikitisha zaidi mtoto huyu anaanza kubaguliwa kuanzia katika ngazi ya familia.Katika familia nyingi za kitanzania mtoto wa kike amekuwa akikosa fursa ya kupata Elimu ukilinganisha na mtoto wa kiume na katika mazingira mengine wazazi wamediriki hata kuwaozesha watoto wao wa kike kwa ajili ya kupata fedha ya kusomesha watoto wa kiume. Ukiangalia pia katika suala zima la Elimu ni ukweli usiofichika kuwa idadi ya wasichana wanaoshindwa kumaliza masomo kwa sababu za kupata mimba imekuwa ikiongezeka.
 Kwa mujibu wa taarifa ya Shirika la watoto duniani UNICEF kumekuwa na ongezeko la mimba mashuleni kutoka asilimia 23 hadi 26 yaani takribani watoto wa kike elfu nane (8000) hapa Tanzania kila mwaka hukatisha masomo kwa ajili ya ujauzito na ndoa za utotoni ambazo kwa kiasi kikubwa huathiri ndoto za watoto wa kike kuzimika.
Vile vile idadi ya watoto wa kike ambao wamekuwa wakimaliza Elimu ya msingi lakini kutokupewa nafasi ya kujiendeleza kielimu hata pale wanapokuwa wamefaulu nayo pia imekuwa ikiongezeka na badala yake mabinti hawa wamekuwa wakilazimika kuingia katika ndoa katika umri mdogo na hatimaye kushindwa kufikia ndoto zao kielimu na kiuchumi.
Tumeendelea pia kushuhudia kuongezeka kwa vitendo vya ukatili wa kingono kama ubakaji na ulawiti kwa Watoto wa kike na cha kusikitisha zaidi vitendo hivi vimekuwa vikifanywa na Ndugu wa karibu sana wa Watoto hawa wakiwemo wazazi, walezi, majirani na hata walimu huko mashuleni. matukio haya yamekuwa hayafikishwi Katika vyombo vya Sheria kwani mengi huzungumzwa kifamilia na kuwaacha watuhumiwa wakiendelea na maisha yao.
Tanzania ni nchi moja wapo yenye idadi kubwa ya ndoa za utotoni kwa takribani  ya asilimia 35 watoto wa kike hapa nchini huozeshwa chini ya umri wa miaka 18 na hivyo kukatishwa ndoto zao za kujiendeleza kielemu na hata ustawi mzima wa maisha yao.
Kwa kifupi watoto wa kike wanapata athari mbalimbali ikiwemo;Kuendelea kudidimiza nafasi ya mwanamke katika Jamii na taifa zima kwa ujumla na kuendeleza mfumo dume kwani ukatili mwingi huanzia katika ngazi ya familia Kutokuendelezwa kielimu kwa mtoto wa kike na hii hupelekea kuendelea kuwa na idadi kubwa ya Wanawake ambao hawana Elimu na hivyo kuendelea kuwa tegemezi kwa wanaume na pia kushindwa kujikwamua kiuchumi.

Idadi kubwa ya athari za kiafya zinazowapata watoto wa kike kwa ajili ya kujifungua katika umri mdogo ambayo husababisha wengine kupoteza maisha, kupatwa na fistula na maambukizi ya virusi vya ukimwi pamoja na magonjwa mengine ya zinaa. Malezi duni ya watoto kwa kuwa watoto hawa wanakuwa bado ni wadogo kuweza kukabiliana na jukumu kubwa la malezi na matunzo ya familia. Kuendelea kuongezeka kwa Ukatili na unyanyasaji wa kijinsia kwani watoto hawa mara nyingi huolewa na watu waliowazidi umri sana na hivyo kutokuwa na maamuzi yoyote katika nyumba.

VIASHIRIA
KUNA VIASHIRIA MBALIMBALI AMBAVYO VIMEPELEKEA KUANZISHA KAMPENI HII YA BINTI AMKA TANZANIA
1. Kuwepo kwa wasichana ambao wanaacha shule kwa sababu ya kujiingiza kwenye mahusiano ya kimapenzi ,hii inatokana na wasichana wengi kukosa elimu ya kujitambua na kufanya maamuzi sahihi hasa pale anapokutana na vishawishi
2. Kuongezeka kwa idadi ya wasichana wanaopata mimba wakiwa shule, .
3. Wasichana kukosa elimu ya ujinsia kabla na baada ya kuvunja ungo.
4. kuongezeka kwa watoto wa kike wanaopoteza maisha ya kushindwa kujifungua kutokana na umri mdogo.
5. Vitendo vya ukatilii dhidi ya wanawake katika ngazi za familia na jamii
6. kukosekana kwa usawa katika ya mwanamke na mwanamme katika fursa za ajira na kazi,
7. kuongezeka kwa watoto wa mitaani kwa sababu ya mimba za utoni ambapo wazazi hushindwa kuwalea watoto kutokana na uwezo wa kifedha n ahali ya umaskini.

WADAU WAKUU WA KAMPENI/MRADI
a)      Viongozi wa YOPOCODE
b)     Mabalozi wa kampeni ya BINTI AMKA
c)      Wataalamu na watafiti washauri wa mradi
d)     Mkuu wa mkoa wa Mkoa husika
e)      Wakuu na wakurugenzi  wa wilaya ( kwa sasa mkuu wa wilaya ya mbeya)
f)       Maafisa elimu wa mkoa na wilya
g)      Maafisa maendeleo mkoa na wilaya
h)     Maafisa ustawi mkoa na wilaya
i)        Maofisa na waratibu kata na mitaa wote katika maeneo husika
j)        Viongozi wa dini na siasa
k)      Wakuu wa shule za misingi na sekondari
l)        Wanafunzi kwa shule ya msingi kuanzia Darasa la tano hadi la saba
m)   Wanafunzi wa sekondari kuanzia kidato cha kwanza hadi cha sita.

NAMNA YA KUFIKISHA UJUMBE WA KAMPENI
ili kuhakikisha ujumbe wa kampeni unaifikia jamii ya Tanzania na walengwa tutatumia vyombo vya habari kama ifuatavyo;
a)      Mitandao ya kijamii kama facebook, whatsapp na blogs
b)     Radio naTelevision kwa matangazo na mahojiano
c)      Vipeperushi na mabango
d)     Magazeti na majarida
e)      Mbao za matangazo za mashuleni
i) Aidha tutaanzisha klabu za wasichana mashuleni zenye lengo la kuwafanya wapate mwamko wa kujadili kwa pamoja changamoto zao kupitia midahalo na mijadala yao.
ii) mashindano ya mpira wa pete na miguu kwa timu za wanawake.
iii) michezo na burudani zitakazowafanya wakutane na kujenga urafiki miongoni mwao

BINTI AMKA TANZANIA
ni kampeni mahususi inayolenga kumsaidia mtoto wa kike Tanzania kufikia malengo yake kielimu, kiuchumi na kisiasa. Kampeni hii imeasisiwa na viongozi wakuu wa shirika la vijana Tanzania YOPOCODE lenye makao makuu mkoani Mbeya na  Matawi yake mikoa mbalimbali ikiwemo Singida, Njombe na Dar es salaam. Kama timu waliibuka na wazo la kumkombowa mtoto wa kike Tanzania baada ya kubaini kwamba watoto wa kike wanapitia changamoto nyingi sana wakati wa kupigana kufikia malengo yao. BINTI AMKA ni jina rasmi la kampeni yetu BINTI AMKA TANZANIA.
      
BALOZI WA BINTI AMKA TANZANIA
Ø  Balozi wa kampeni ya Binti Amka ni mtu yoyote aliyekubali na kuwa tayari kusimama kidete kuhakikisha mtoto wa kike Tanzania anafikia malengo yake kielimu, kiuchumi, kisiasa. Wajibu wa balozi wa BINTI AMKA nchini Tanzania ni pamoja na;
Ø  kukubali kuwa sehemu ya watu waliojitowa kusaidia watoto wa kike.
Ø  Pili, kukubali kufanya kazi na shirika letu kupitia  kampeni hii.
Ø  Tatu,kuwajibika kusema uzuri wa kampeni kwa namna yoyote bila kuogopa.
Ø  Nne, kushiriki mikutano yote ya mabalozi wakuu bila kubaguliwa.
Ø  Tano, kukubali kutoa mchango wake wa hali na mali kufanikisha kampeni yetu.
Ø  Pia kuingia mahali popote na kusema ukweli kuhusu hali ya mtoto wa kike Tanzania, tena anapaswa kufanya utafiti na ripoti mbalimbali kuhusu hali ya mtoto wakike Tanzania,
Ø  Na mwisho anapaswa kuunda vikundi mbalimbali vinavyolenga kumsaidia mtoto wa kike Tanzania.      

MABALOZI WA KAMPENI YA BINTI AMKA NCHINI TANZANIA
NA
MAJINA KAMILI
PICHA
1
ALFRED SOSTERN MWAHALENDE, NI BALOZI WA BINTI AMKA TANZANIA MKOA WA DAR NA MBEYA, MAWASILIANO:0758051641
2
MOSES MSAI, MKURUGENZI MTENDAJI  WA YOPOCODE MKOA WA SINGIDA .O754270906
3
MADAM. BEATRICE JOSEPH MAMSERY NI BALOZI WA KAMPENI YA BINTI AMKA TANZANIA KANDA YA DAR ES SALAAM NA PWANI NA PIA
MKURUGENZI TAWI LA YOPOCODE DAR NA PWANI, ANAPATIKANA KWA;
P.O BOX  78409 DSM
LUFUNGIRA/SAM NUJOMA ROAD KINONDONI.
DAR ES SALAAM AND COASTAL REGION
Emailbeajoseph05@gmail.com
Mobile: +25576865310/0718471872

4
SAMIRA BADRU MWIMBO. BALOZI BINTI AMKA TANZANIA KANDA YA DAR NA PWANI. NI MMOJA WA WANAKAMATI KATIKA KAMATI YA FEDHA NA MIPANGO KWENYE KAMPENI HII YA BINTI AMKA. MWANZILISHI WA SASHA VOLUNTEERS FOUNDATION. BIOLOGIST (BSC IN BIOLOGY), MWALIMU, MAMA 0713097337 AU 0789436841... instagram (aliyshasasha26122014) snapchat (Aliysha Sasha) sina facebook account
5
SALOME KASEKELE NI BALOZI WA BINTI AMKA TANZANIA NIPO MKOA WA MWANZA NA SIMIYU.
6
JOANITA J. NTINABO, NI BALOZI WA BINTI AMKA TANZANIA MKOA WA MWANZA NA DAR

GETRUDE JACOB JAMES...NI BALOZI WA BINTI AMKA..DAR (0672454109)
7
ANJESTA NATHANAEL...0757125576,,, DAR




8
IRENE LOSSIRU NI BALOZI WA BINTI AMKA TANZANIA MKOA WA ARUSHA. 0754565771

CARYN KHAN,  BALOZI WA BINTI AMKA TANZANIA FROM DAR ; MAWASILIANO 0679373870; carynkhan200@gmail .com
9
JANEROSA MAFWIMBO
YOPOCODE LEADER &BINTI AMKA AMBASSADOR... LIVING IN KIMARA DAR
FACEBOOK: Janerose Mafwimbo
Instagram: generose-nyanjula

10
NAITWA ASHA ALFRED KASILILWA NI MKURUGENZI NA MMILIKI WA KAMPUNI YA ATASHA PIA NI BALOZI WA *BINTI AMKA TANZANIA*MKOA WA DAR
......0656-566474 atashainvestment@gmail.com
11
NAITWA HURUMA JOSEPH N BALOZI WA BINTI AMKA DAR,,0715079088
12
NAITWA JANETH MSELEMU, NAISHI DAR...NI BALOZI WA BINTI AMKA.KAMPENI HII  NITAIFANYIA MKOA WA LINDI
13
NAHELI TITO,, NI BALOZI WA BINTI AMKA DAR-ES-SALAAM
14
GRACE ANDERSON MONITORING AND EVALUATION OFFICER IN MOSHI MUNICIPAL COUNCIL


15
JOHNSON STEVEN NI MWANAFUNZI KUTOKA SUA MWAKA WA MWISHO NI MWENYEJI WA MKOA WA MBEYA WILAYA YA KYELA.
16
NKINDA SHADA JOSEPH, NIKO SHINYANGA, PROJECTS PROGRAMMING SPECIALIST
+255763431942
FACEBOOK; Nkinda Joseph
Instagram: nkinda joseph
Twitter : Nkinda Joseph
17
MINZA SALUM. NI BALOZI WA BINTI AMKA TANZANIA, KANDA YA DAR NA PWANI; Mawasiliano; 0654348082; Email;minzasalum17@gmail.com

18
JOHARI MGATA,BALOZ WA DAR & MORO ,BINTI AMKA TANZANIA
Mawasiliano -0653660340
19
HILDER GASPER.... BALOZI, BINTI AMKA DAR. PHONE NO 0673750421, 0767385849; mmarihilder@gmail.com;
Instag; hildergasper_tz
20
MAJULA EDWARD ZACHARIA. KWA FANI NI MWALIMU, MWELEDI KATIKA MASOMO YA KISWAHILI NA HISTORIA KWA NGAZI YA SEKONDARI. NI MJASIRIAMALI PIA WA BIDHAA ZA VYAKULA AMBAZO ZIKO KATIKA MAKUNDI MATANO. *1. NAFAKA AINA MBALIMBALI. 2. MBOGA AINA MBALIMBALI, 3. VINYWAJI AINA MBALIMBALI, 4. MATUNDA AINA MBALIMBALI 5. VIUNGO VYA VYAKULA AINA MBALI* KUPITIA TAASISI YA JATU PLC(JENGA AFYA TOKOMEZA UMASKINI). NI WAKALA WA JATU PLC NA SHUGHULI HIZO NAZIFANYIA KIGAMBONI - DAR. NI BALOZI WA KAMPENI YA BINTI AMKA TANZANIA KATIKA MIKOA YA DAR NA MBEYA. MAWASILIANO: *0754496398, 0687744354, 0713*
Barua pepe: majulaedward@rocketmail.com,
 edwardmajula@gmail.com*Facebook: *Majula Edward Zacharia*
WhatsApp: *0687744354*

21
JASMIN GODFREY.  BALOZI KUTOKA MKOA WAS KILIMANJARO.  PIA NI MKURUGENZI WA DECY LIFE ORGANIZATION.  0764303410
22
NAITWA JULIET NI BALOZI WA BINTI AMKA TANZANIA MKOA WA MOROGORO NA DAR
23
BABY BRIGHTON, NI BALOZI WA BINTI AMKA: DAR ES SALAAM
24
ALODIA LEONIDAS. MKOA WA MWANZA
25
HAPPYNESS EMMANUEL NAISHI MKOWA WA DAR ES SALAAM   NI AFISA MAWASILIANO WA DAR PWANI KATIKA KAMPENI YETU YA BINTI AMKA TANZANIA NA YOPOCODE NAWAPENDA
26
ELINAH W MCHAKI, AM NURSE BY PROFFESIONAL, NAPATIKANA DSM BUNJU A' NI BALOZI WA  BINTI AMKA TANZANIA  , CONTACT 0715651117/ 0745971151
27
MARIAM YATERY, BALOZI WA BINTI AMKA MOROGORO                                     
EMAIL: mymayatery8@gmail.com.        
phone number : 0717390877
28
OTILIA MTITU, NI BALOZI WA BINTI AMKA DAR ES SALAAM.     
Facebook Otilia Mtitu       
Instagram otiliamtitu_    
29
SALOME J. MISHISHI, NI BALOZI WA BINTI AMKA TANZANIA KANDA YA DAR ES SALAAM NA PWANI, MAWASILIANO: salomemishishi@gmail,
0675592521Facebook: Salome james

30
GLORIA PETER BALOZI WA BINTI AMKA TANZANIA MKOA WA ARUSHA&MOROGORO #0679001501
31
SUZAN BARNABAS-DSM
32
ESTER NESTORY.....BALOZI BINTI AMKA DAR NA PWANI 0657656034
33
HOSSIANA MALLE. KILIMANJARO 0621067033

34

35
NAITWA SENGY STEVEN KACHENKE. MEMBER RED CROSS TANZANIA. MENEJA MASOKO WA INFO TECH COMPANY NA SALES ASSOCIATE THE GUARDIAN LTD. BALOZI BINTI AMKA TANZANIA.
36
BEATRICE PASCHAL..BALOZ WA KAMPENI YA BINTI AMKA TANZANIA KANDA YA MWANZA.. 0764998454
37
NESTINA MWILE PAKANI NI BALOZI WA KAMPENI YA BINTI AMKA KANDA YA NYANDA ZA JUU KUSINI MBEYA’ MAWASILIANO NI 0756980480



 

Comments

Popular posts from this blog

WITO NI NINI?

MJUE ALIYEKUITANA KUMTUMIKIA WITO NI NINI? Kila mtu Mungu amemwita kwa nafasi yake amtumikie.Hata kama kwa nje wito utaonekana kufanana haina maana wito wa mtu mmoja na mwingine unafanana. Wito unatokana na kuitwa. Kila mtu Mungu amemwita amtumikie katika eneo Fulani.  Wito : Ni sauti au agizo analosikia mtu likimwelekeza nini cha kufanya.Katika wito wowote ukiwa umeitwa na Mungu atakuelekeza nini cha kufanya.Na unapoitwa na Mungu jitahidi kutenda sawa na wito wako ulivyo. NITAJUAJE NIMEITWA? 1.Utaisikia sauti ya Mungu ikisema na wewe: Kama kuitwa kwa kawaida kulivyo ndivyo mtu uisikia sauti ya Mungu  ikisema nae. Ebu angali mifano ya watu mbalimbali waliowahi kuisikia sauti ya Mungu ikiwaita kwa ajili ya kutekeleza agizo fulani. MUSA kabla ya kuanza kumtumikia Mungu alikuwa mchungaji wa mifugo ya mkwe Yethro kuhani wa Midiani.Katikati ya uchungaji Mungu alimwita Musa.Kumbe ili na wewe umtumikie Mungu unatakiwa uisikie sauti yake ikisema na wewe,Ni hatari sana kama uta

KIJANA NI NANI???

KIJANA NI NANI? NA MWANDISHI,  JANEROSA MAFWIMBO Neno kijana limekuwa na maana pana na linakuwa likipata tafsiri mbalimbali kutoka katika kila Taifa, jamii au tamaduni fulani. Kwakuzingatia mifumo au maisha ya jamii tunapata baadhi ya tafsiri za neno kijana kama ifuatavyo: Kijana ni mtu wa miaka 15-24. Hii ni tafsiri ya umoja wa Mataifa. Mathalani nchini Tanzania kijana ni mtu wa miaka 18-35 yaani baada ya balehe na mabadiliko ya maumbile toka utoto kuelekea ukubwa, aidha kw mujibu wa sera ya Taifa ya maendeleo ya vijana ya mwaka 1996 na kufanyiwa marekebisho mwaka 2007, inasema kijana ni mtu mwenye umri kuanzia miaka 15-24. Hivyo basi kijana ni mtu yeyote wa kike au kiume mwenye umri wa miaka 18-35 ambaye kwa mujibu wa mifumo ya kijamii au kitamaduni, kisiasa na kisheria anauwezo wa kujitegemea na kufanya maamuzi yake binafsi. Tofauti kati ya mtoto na kijana, wengi wanashindwa kutofautisha kati ya mtoto na kijana hasa waliopo katika elimu ya msingi na sekondari kutokana

MAMBO 12 YA KUFANYA UKIWA KIJANA

Vijana Tanzania Na Alfred Mwahalende Kwa mujibu wa mwandishi wa blog ya Dira Ya Kijana Tanzania  Janerosa Mafwimbo anasema “ Neno kijana limekuwa na maana pana na linakuwa likipata tafsiri mbalimbali kutoka katika kila Taifa, jamii au tamaduni fulani. Kwakuzingatia mifumo au maisha ya jamii tunapata baadhi ya tafsiri za neno kijana kama ifuatavyo: 1.     Kijana ni mtu wa miaka 15-24. Hii ni tafsiri ya umoja wa Mataifa. 2.     Mathalani nchini Tanzania kijana ni mtu wa miaka 18-35 yaani baada ya balehe na mabadiliko ya maumbile toka utoto kuelekea ukubwa, aidha kw mujibu wa sera ya Taifa ya maendeleo ya vijana ya mwaka 1996 na kufanyiwa marekebisho mwaka 2007, inasema kijana ni mtu mwenye umri kuanzia miaka 15-24.Hivyo basi kijana ni mtu yeyote wa kike au kiume mwenye umri wa miaka 18-35 ambaye kwa mujibu wa mifumo ya kijamii au kitamaduni, kisiasa na kisheria anauwezo wa kujitegemea na kufanya maamuzi yake binafsi. ” JE, UJANA NI NINI? 3.     Ujana ni hatua ambayo mtu anapi