Skip to main content

KITABU CHA DIRA YA KIJANA TANZANIA

MRADI WA KUANDIKA KITABU CHA
DIRA YA KIJANA TANZANIA
Ø    Huu ni mradi wa kwanza Tanzania unaowakutanisha waandishi vijana wanatoka katika kada mbalimbali na wenye fani tofauti tofauti, kuandika kitabu kitakachokuwa mkombozi Kwa taifa letu na vijana wetu, kitabu hikii pekee kitachambua mambo mbalimbali yanayolenga kuwainua vijana kiuchumi na kuwasaidia vijana kujiingiza katika ujasiriamali NA Kujiajiri binafsi, aidha kitabu hiki kitaeleza kwa kina changamoto zinzowakabili vijana kama vile ukosefu wa ajira, umaskini, ndoa na mahusiano na kuonyesha suluhu kwa changamoto hiizo. Hali kadhalika kitabu hiki kitabainisha mifano mbalimbali ya vijana waliofanikiwa kimaisha angali wakiwa vijana.
Ø     Tumeamua kuwagusa vijana kwa kuwa tunatambua vema kuwa vijana wanapita katika chanagamoto nyingi sana katika kipindi hiki cha mabadiliko makubwa kiuchumi na kiteknolojia,hivyo sisi kama shiriki la YOUTH POTENTIALS FOR COMMUNITY DEVELOPMENT ( YOPOCODE) tumeona hii ni fursa kuwaandikia vijana kitabu kitakacholenga kubadilisha mitazamo yao .
YALIYOMO NA WAANDISHI WAKE

1.       KIJANA NI NANI?
 ( MWANDISHI NI JANEROSA MAFWIMBO)
2.       UJANA NI NINI? 
( MWANDISHI NI JANEROSA MAFWIMBO)
3.       SIFA NA WAJIBU WA KIJANA 
( MWANDISHI NI HELLEN STEPHEN)
4.       NAFASI YA KIJANA KATIKA MAENDELEO YA JAMII
 ( MWANDISHI NI RAYMOND MGENI)
5 THAMANI YA KIJANA ( NA DEOGRATIUS KESSY)
6. KIJANA NA VIPAWA/KIPAJI AU KARAMA ( ADABERT CHENCE)
7.       FURSA ZILIZOPO TANZANIA VIJANA KUJIWEKEZA
( MWANDISHI NI INNOCENT  LAIZER)
8 KIJANA NA TECHNOLOJIA ( MWANDISHI NI MOHAMMED)
9. JE, KIJANA NI TAIFA LA LEO AU KESHO?
( MWANDISHI NI ALFRED MWAHALENDE)
10. KIJANA NA ELIMU ( MR DANIEL SAMSON)
11   .NDOA NA MAHUSIANO ( MWADISHI NI MUSSA KISOMA)
12. KIJANA NA KILIMO NA UFUGAJI ( NICOLOUS ZINGO)
13. MIFANO NA HISTORIA YA VIJANA/VIJANA WALIOWAHI KUFANYA VIZURI
 ( MWANDISHI NI HABEL SAMIDA)
14 BIASHARA, UJASIRIAMALI NA MWANDISHI NI JOAS YUNUS (JYB)
16. MAKUNDI YA UJASIRIAMALI KWA VIJANA
( MWANDISHI NI FELBERT NYONI)
17.  CHANGAMOTO ZINZOWAKWAMISHA VIJANA KATIKA KUFIKIA NDOTO ZAO
( MWANDISHI NI JACOB MUSHI)
18. MIPANGO NA MIKAKATI YA TANZANIA MPYA YA VIJANA.
( MWANDISHI NI LAZARO SAMWEL)

Comments

Popular posts from this blog

WITO NI NINI?

MJUE ALIYEKUITANA KUMTUMIKIA WITO NI NINI? Kila mtu Mungu amemwita kwa nafasi yake amtumikie.Hata kama kwa nje wito utaonekana kufanana haina maana wito wa mtu mmoja na mwingine unafanana. Wito unatokana na kuitwa. Kila mtu Mungu amemwita amtumikie katika eneo Fulani.  Wito : Ni sauti au agizo analosikia mtu likimwelekeza nini cha kufanya.Katika wito wowote ukiwa umeitwa na Mungu atakuelekeza nini cha kufanya.Na unapoitwa na Mungu jitahidi kutenda sawa na wito wako ulivyo. NITAJUAJE NIMEITWA? 1.Utaisikia sauti ya Mungu ikisema na wewe: Kama kuitwa kwa kawaida kulivyo ndivyo mtu uisikia sauti ya Mungu  ikisema nae. Ebu angali mifano ya watu mbalimbali waliowahi kuisikia sauti ya Mungu ikiwaita kwa ajili ya kutekeleza agizo fulani. MUSA kabla ya kuanza kumtumikia Mungu alikuwa mchungaji wa mifugo ya mkwe Yethro kuhani wa Midiani.Katikati ya uchungaji Mungu alimwita Musa.Kumbe ili na wewe umtumikie Mungu unatakiwa uisikie sauti yake ikisema na wewe,Ni hatari sana kama uta

KIJANA NI NANI???

KIJANA NI NANI? NA MWANDISHI,  JANEROSA MAFWIMBO Neno kijana limekuwa na maana pana na linakuwa likipata tafsiri mbalimbali kutoka katika kila Taifa, jamii au tamaduni fulani. Kwakuzingatia mifumo au maisha ya jamii tunapata baadhi ya tafsiri za neno kijana kama ifuatavyo: Kijana ni mtu wa miaka 15-24. Hii ni tafsiri ya umoja wa Mataifa. Mathalani nchini Tanzania kijana ni mtu wa miaka 18-35 yaani baada ya balehe na mabadiliko ya maumbile toka utoto kuelekea ukubwa, aidha kw mujibu wa sera ya Taifa ya maendeleo ya vijana ya mwaka 1996 na kufanyiwa marekebisho mwaka 2007, inasema kijana ni mtu mwenye umri kuanzia miaka 15-24. Hivyo basi kijana ni mtu yeyote wa kike au kiume mwenye umri wa miaka 18-35 ambaye kwa mujibu wa mifumo ya kijamii au kitamaduni, kisiasa na kisheria anauwezo wa kujitegemea na kufanya maamuzi yake binafsi. Tofauti kati ya mtoto na kijana, wengi wanashindwa kutofautisha kati ya mtoto na kijana hasa waliopo katika elimu ya msingi na sekondari kutokana

MAMBO 12 YA KUFANYA UKIWA KIJANA

Vijana Tanzania Na Alfred Mwahalende Kwa mujibu wa mwandishi wa blog ya Dira Ya Kijana Tanzania  Janerosa Mafwimbo anasema “ Neno kijana limekuwa na maana pana na linakuwa likipata tafsiri mbalimbali kutoka katika kila Taifa, jamii au tamaduni fulani. Kwakuzingatia mifumo au maisha ya jamii tunapata baadhi ya tafsiri za neno kijana kama ifuatavyo: 1.     Kijana ni mtu wa miaka 15-24. Hii ni tafsiri ya umoja wa Mataifa. 2.     Mathalani nchini Tanzania kijana ni mtu wa miaka 18-35 yaani baada ya balehe na mabadiliko ya maumbile toka utoto kuelekea ukubwa, aidha kw mujibu wa sera ya Taifa ya maendeleo ya vijana ya mwaka 1996 na kufanyiwa marekebisho mwaka 2007, inasema kijana ni mtu mwenye umri kuanzia miaka 15-24.Hivyo basi kijana ni mtu yeyote wa kike au kiume mwenye umri wa miaka 18-35 ambaye kwa mujibu wa mifumo ya kijamii au kitamaduni, kisiasa na kisheria anauwezo wa kujitegemea na kufanya maamuzi yake binafsi. ” JE, UJANA NI NINI? 3.     Ujana ni hatua ambayo mtu anapi